Ukishangaa ya filauni .......................





Hebu oneni haya wenzetu walivyotutengenezea mito ya aina mpya kama mnavyoona kwenye hizi picha. Sijui haya watu wanawaza nini? maana tunakoelekea ni hatari sijui baba anaweza kununua mto wa aina hiyo na akaupeleka nyumbani? sijui watoto wakimuuliza baba hiyo ni nini sijui kama ataweza kujibu yaani jinsi ilivyokaa mh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

No comments: